Umbumbumbu unazidi kujidhihilisha.......kabla ya kuandika ungeangalia kwanza Calendar ya next season........then Kwa mikia ni sawa kwenda huko maana msimu wa mashindano kwenu uliisha mapema,benchi jipya la ufundi,Yanga na Coastal Union walicheza fainali ya FA ,nyie mlikuwa wapenzi watazamaji tu mnapumzika........