Xbox 360 for sale, Tsh 250,000

Xbox 360 for sale, Tsh 250,000

mkuu mimi sijakuelewa kinachouzwa ni aina ya simu au computer au ni kifaa gani?

xbox360.jpg
 
Wakati mwingine na wish, ningejua wauliza maswali wana umri gani, elimu kiasi gani ili nisishangae sana!
wakati mwingine na wish ningejua wanaoshangaa sana wenzao wanaouliza maswali wana umri gani,elimu kiasi gan ili niwafahamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom