WRITTEN INTERVIEW

dullah_libra

Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
9
Reaction score
0
Hivi kwenye written interview ili uchaguliwe kwenda next stage ni lazima umalize maswali yote?
 
Jitahid komaa upate 50 kwenda juu kama pepa itakuwa maji upige marks nzuri zaidi mkuu ila chini ya 50 hapa hakuna matumaini mkuu.
 
Sifa siyo kumaliza maswali yote, ila ulichokijaza kinaendana na ulichoulizwa na je umefikisha zile Pass marks zao? Unaweza kumaliza maswali yote ila umejaza utumbo, na usimalize lkn uliyojibu umejibu vzr. So ni hivyo
Jibu zuri asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…