Wadau...ndio nimetoka kwenye written interview ya TRA pale Duce. Aisee ilikua noumer tupu. Majibu kesho jion saa 10. Maswali magumu sana. Kweli kama ni kazi...sasa ivi tutakua tunazipata kwa neema ya Mungu au kwa vimemo tu. Kama hali yenyewe ndio hii.
Wadau...ndio nimetoka kwenye written interview ya TRA pale Duce. Aisee ilikua noumer tupu. Majibu kesho jion saa 10. Maswali magumu sana. Kweli kama ni kazi...sasa ivi tutakua tunazipata kwa neema ya Mungu au kwa vimemo tu. Kama hali yenyewe ndio hii.
Wadau...ndio nimetoka kwenye written interview ya TRA pale Duce. Aisee ilikua noumer tupu. Majibu kesho jion saa 10. Maswali magumu sana. Kweli kama ni kazi...sasa ivi tutakua tunazipata kwa neema ya Mungu au kwa vimemo tu. Kama hali yenyewe ndio hii.
pole mm naona ni lile gogoro la Comfy ulilolilalia, huko kuna jamaa yangu katokea Songea anadai paper ilikuwa safi sana ila ana wasiwasi na watoto wenye maGODFATHER, huenda neema ikawapitia maana miaka ya nyuma TRA iligubikwa na Ukabila
Huna nidhamu na hujiheshimu hata wewe mwenyewe. Matusi unayotoa yanaanzishwa nini? Unakula NDUMU au UNABWIA? Wavuta bangi na wabwia unga ndio huamua kutukana hata kama hakuna sababu ya kutukana. Wao matusi ni mkate wao wa kila siku. Jirekebishe maana unamlaani aliyekufundisha kuandika
Huna nidhamu na hujiheshimu hata wewe mwenyewe. Matusi unayotoa yanaanzishwa nini? Unakula NDUMU au UNABWIA? Wavuta bangi na wabwia unga ndio huamua kutukana hata kama hakuna sababu ya kutukana. Wao matusi ni mkate wao wa kila siku. Jirekebishe maana unamlaani aliyekufundisha kuandika