Niaje asee mimi pia nimeitwa kwenye interview TRA katika post ya preventive assistant sasa na mimi nilikuwa naomba kujua wanauliza maswali gani maana mimi nimesomea sheria
Mimi pia nimeitwa kwenye interview post ya preventive assistant sasa nilikuwa nataka kujua wanauliza maswali ya aina gani ?afu nimesomea sheria mkuu naomba msaada hapo
Mimi pia nimeitwa kwenye interview post ya preventive assistant sasa nilikuwa nataka kujua wanauliza maswali ya aina gani ?afu nimesomea sheria mkuu naomba msaada hapo