Haiwezekani uko kitandani na BEBI wako halafu umuache tu alale wee uko busy na mtandao.
Wengi wana husika hapa ��������������������������msinipige mawe hamjuii nami niko wapi hapo.
Mie namfundisha baby jinsi ya kutumia jamii forum na nimekutana na uzi huu nikiwa namtajia baadhi ya watu maarufu JF ndoo kutaja madame B ndoo uzi huu ukatokea
Mie namfundisha baby jinsi ya kutumia jamii forum na nimekutana na uzi huu nikiwa namtajia baadhi ya watu maarufu JF ndoo kutaja madame B ndoo uzi huu ukatokea
Usingizi wao ni kuanzia saa tisa alfajiri!mida hii wapo hoi lakini hawana jinsi inabidi waamke na uchovu wao wakasake tonge! Wana mateso mengi kwakweli
Usingizi wao ni kuanzia saa tisa alfajiri!mida hii wapo hoi lakini hawana jinsi inabidi waamke na uchovu wao wakasake tonge! Wana mateso mengi kwakweli