ALIPATA KUNENA HAYA...
''ni heri nikae na kuangalia FUTUHI kuliko kuangalia mechi ya Brazil isiyo na Saint Gaucho...
Maneno hayo yalitolewa na shabiki nguli wa mchezo wa Soka anayeaminika kuwa na kipawa cha kuudadavua mchezo huu Kamanda Gang Chomba alipokuwa anajibu maswali ya wadau wa mchezo huo pale walipotaka kujua mtazamo wake na maoni kwa Brazil ktk mashindano haya.