MKuu....Masahihisho kidogo kwenye hiyo picha ya kati.......Huyo si S. Muntari....Huyo ni K. Asamoah.....Muntari hajacheza kabisa leo.....Asante kwa mapicha mkuu
watu wengi wamewasahau hawa jamaa......huwa wana-qualify kwa shida lakini perfomance yao kwenye mashindano ni kiboko......hawa GERMAN ukizungumzia efficiency hapa ndio kwake.........