Mwanamke Wa ukweli huwa apatikani kwenye mitandao, by the way, Una kasoro gani Hadi ukashindwa kupata mwanamke kijijini kwenu, kijiji cha jirani, shuleni, ofisini, nyumba za ibada Hadi uje huku?
Haya basi tuseme huko kotee umekosa, Haya kwenye daladala umeshindwa?