Tz Maji bado tatizo kubwa Sana ndio maana tukifanya tathimini ya ziara ya Mh.Dr.Magufuli utaona Kila Kijiji,kata,tarafa,Wilaya,Mikoa na Majiji watu wana changamoto ya Maji.
Tunaamini kupitia hii baadhi ya maeneo yatapunguziwa changamoto ya Maji,au kutatulia kabisa.
Naamini Prof.Katibu Mkuu,Waziri Prof.na bado wizara in engs.Wakutosha.
Pigeni kazi Wakuu!