Wingu zito mida hii Arusha

Mwisho wa dunia ndiyo huo kama hujawahi ona Hali kama hiyo kabla!!
 
upo kiroba cha ngapi? kidogo bia zinakubakishia akili ila viroba vinakula ubongo
 
upo kiroba cha ngapi? kidogo bia zinakubakishia akili ila viroba vinakula ubongo
mkuu kama uliotea nipo arusha kama siku mbili hivi then nageuka dar ila huku mambo si mambo mvua tuuu
 
Hizi pande inaonekana ni maeneo ya Ngaramtoni maana hata Eria za TV ni zile za kijanja zinazotengenezwa na TubeLight!

 
Itafikia point hata tukienda kukata gogo watu watapiga picha wapost tuwape ushaur wakae style gani
 
Acha bangi mkuu. Uko Arusha ya wapi mbona mimi niko hapa Arusha? Cc Arushaone
 
Last edited by a moderator:
Hizi pande inaonekana ni maeneo ya Ngaramtoni maana hata Eria za TV ni zile za kijanja zinazotengenezwa na TubeLight!

jirani za siku......?.......hatuonani........
kesho tunaenda kutembea tembo.........?
 
Jana jioni kulikuwa na kawingu kazito!!!Ni kama mvua kubwa ilitaka kunyesha!!!!But cjaona mantiki ya post
 
jirani za siku......?.......hatuonani........
kesho tunaenda kutembea tembo.........?
Asante jirani lakini mimi nitakua napigika si unajua tena Unga robo na Xmass & new 2015 is around the Conner!
 
Asante jirani lakini mimi nitakua napigika si unajua tena Unga robo na Xmass & new 2015 is around the Conner!

Usijali jirani.....nimekuwakilisha vema.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…