duuuuuh kitambo sana.... hiyo ni laptop aina hani na model gani?, bila shaka hata kama ni ya zamani basi itakuwa inasupport XP angalau(so kama vp upgrade kwenda XP kama hiyo laptop haisupport OS mpya)
Iasee ni yazamani sana ninawasiwasi hata RAM yake itakuwa ndogo na HARD DISK yake ila unaweza ku-upgrade sio mbaya ila kama nayo processor speed nayo ni ndogo kazi unayo ila ukiweza kuweka hard disk na ram itakuwa fresh tuuu. Ila ya zamani sana aina gani ya mashine IBM nini
duuuuuh kitambo sana.... hiyo ni laptop aina hani na model gani?, bila shaka hata kama ni ya zamani basi itakuwa inasupport XP angalau(so kama vp upgrade kwenda XP kama hiyo laptop haisupport OS mpya)