Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Funguka mkuu, mbona na wewe unakuwa nusunusu
mbona sampling ni kitu cha kawaida.Hata dre,rza,erick sermon,p diddy na swis beats hufanya sampling pia.
ielewe sanaa na taaluma yake
mkuu hueleweki, kacopy kasample?
Mkuu ile pure sampling. Kiongoz. Wangu
Kama hujui muziki ni bora ukae kimya. Sampling ni kitu cha kawaida sana kwenye muziki labda kama hao mabwana waliosample hawajatoa credits kwa mtunzi.
Mf. MBDTF album bora kabisa ya kanye West nyimbo zote ni sample na ilishinda Grammy's kadhaa, beats nyingi za kanye ni sample. Na sio kanye tu producers wengi wana sample kifupi kusample ni kawaida ila inabidi utoe credit kwa mtunzi.
Sisikii kama nusu nusu ikifanana na sexual healing Jaribu kusikia the fix ya Nelly au blurred lines hizo ndio sample za sexual healing
Kama hujui muziki ni bora ukae kimya. Sampling ni kitu cha kawaida sana kwenye muziki labda kama hao mabwana waliosample hawajatoa credits kwa mtunzi.
Mf. MBDTF album bora kabisa ya kanye West nyimbo zote ni sample na ilishinda Grammy's kadhaa, beats nyingi za kanye ni sample. Na sio kanye tu producers wengi wana sample kifupi kusample ni kawaida ila inabidi utoe credit kwa mtunzi.
Sisikii kama nusu nusu ikifanana na sexual healing Jaribu kusikia the fix ya Nelly au blurred lines hizo ndio sample za sexual healing
Mi tatizo langu ni kwamba na producers wawe wabunifu
Haina haja a kusample saana
Bado km producer ni mzuri ni mzuri tu
Kuna sample ingine ushaisikia toka kwa the industry
Mi tatizo langu ni kwamba na producers wawe wabunifu
Haina haja a kusample saana
Bado km producer ni mzuri ni mzuri tu
Nusu nusu mkono wa Nahreel producer bora bongo kwa sasa, jamaa huwa hafanyi sampling na kama alifanya sampling kwa huo wimbo sitamuhukumu maana kuna Kazi nyingi sana nzuri katengeneza from the scratch. Mf Nana ya Dayamondi, safari ya weusi, gere ya weusi nk na zote hizo ni hits.
Bado sijahakikisha kama kasample nusu nusu ila kama kafanya hivyo ni bora angetoa credits kwa mtunzi. Kwa mfumo wa kulipa wasanii unaoenda kuanza mwakani ni vyema cosota wakaangazia jicho na hili swala la sampling
Kama hujui muziki ni bora ukae kimya. Sampling ni kitu cha kawaida sana kwenye muziki labda kama hao mabwana waliosample hawajatoa credits kwa mtunzi.
Mf. MBDTF album bora kabisa ya kanye West nyimbo zote ni sample na ilishinda Grammy's kadhaa, beats nyingi za kanye ni sample. Na sio kanye tu producers wengi wana sample kifupi kusample ni kawaida ila inabidi utoe credit kwa mtunzi.
Sisikii kama nusu nusu ikifanana na sexual healing Jaribu kusikia the fix ya Nelly au blurred lines hizo ndio sample za sexual healing
Hapa huu wimbo nimetokea kuupenda sana ila kila nkiusikia nahisi km nipo zama zangu mara km nipo zama za kisasa loo nkaona ngoja niingie maktaba yangu
Ndo kukutana nayo