Elimu na uwezo wa lugha za kimataifa kama english lazima uzingatiwe ktk uteuzi wa waziri mkuu.Ndugu zangu wanajamvi..
Uchaguzi ushapita na sasa turudi tena wamoja tukiziacha tofaut zetu za vyama..alieshinda kashinda na hao wanatetea vita kwa kushindwa i dont support them.
Swali lililobaki kichwan kwasasa ni kua kwa uchapakaz alouonyesha mh. William Lukuv ndan ya wizara ya ardhi mda mfupi alokaa ktk wizara hyo ni dhahiri kua angefaa sana kua PM anaeweza kwendana na kasi ya Rais mteule..was was ni mmoja tu, lukuv ana majibu ya hovyo hovyo sana kwa wale mlokua mkifuatilia bunge na dharau pia zimemjaa!!
Give up your opinion!!!
Mimi ni CCM simpendi lukuvi hana humility ya kuwa waziri mkuu. Tunahitaji waziri mkuu ambaye atawaheshi watz wote bila kujali kabila wala chama. Lukuvi sidhani kama anazo hizo sifa. Nilimuona kipindi cha escrow alikuwa hafai. Ni bora hata mwigulu au January Makamba. Mwakyembe ni mzuri ila nasikia ana ukabila wa kinyakyusa.Ndugu zangu wanajamvi..
Uchaguzi ushapita na sasa turudi tena wamoja tukiziacha tofaut zetu za vyama..alieshinda kashinda na hao wanatetea vita kwa kushindwa i dont support them.
Swali lililobaki kichwan kwasasa ni kua kwa uchapakaz alouonyesha mh. William Lukuv ndan ya wizara ya ardhi mda mfupi alokaa ktk wizara hyo ni dhahiri kua angefaa sana kua PM anaeweza kwendana na kasi ya Rais mteule..was was ni mmoja tu, lukuv ana majibu ya hovyo hovyo sana kwa wale mlokua mkifuatilia bunge na dharau pia zimemjaa!!
Give up your opinion!!!
Mimi ni CCM simpendi lukuvi hana humility ya kuwa waziri mkuu. Tunahitaji waziri mkuu ambaye atawaheshi watz wote bila kujali kabila wala chama. Lukuvi sidhani kama anazo hizo sifa. Nilimuona kipindi cha escrow alikuwa hafai. Ni bora hata mwigulu au January Makamba. Mwakyembe ni mzuri ila nasikia ana ukabila wa kinyakyusa.
Hizo wizara nyingine mbona hakuonesha hayo makeke..!! we want someone who his/her performance has never been questioned..!! Prof muhongo, dr mwakyembe and mwingulu can fit this position..!!
Ccm itabidi pia wampeleke magufuli kwa rasi simba asije akafanya kama ya phillep mulugoElimu na uwezo wa lugha za kimataifa kama english lazima uzingatiwe ktk uteuzi wa waziri mkuu.
Hao uliowataja labda wawe mawaziri wa mafisadi ila sio hapa tz wawe mambo ya nje labdaHizo wizara nyingine mbona hakuonesha hayo makeke..!! we want someone who his/her performance has never been questioned..!! Prof muhongo, dr mwakyembe and mwingulu can fit this position..!!