Wi-Fi ni nini?

mkuu kuwa mtundu kidogo,si kila swali unatupia hapa JF Kunakitu kinaitwa google unaweza kugoogle na ukapata jibuzuri sana
 
Wi-fi, ni aina ya network ambayo haihitaji profile(eg. Sim card) kui access bali inaweza kukonect na device(cm, pc, ps e.t.c) ambazo zina u support, kwa maelezo zaidi visit wikipedia.
 
kAKA hApO kwENYE rED.....200mtr ni MBALI MNO KUNASA.....we are speaking of abt 75ft equivalent to around 25MTRS.
kama una device yeyote fanya majaribio pita kwenye open network yeyote unayoitambua>>>ikikupa signa>>>move away hata mtr 40.....huwezi pata signa>
 

point of correction......umbali wa signal kufika inategemeana na ukubwa na uwezo wa wireless router.....kwenye nchi zilizoendelea wamefunga router zinazoweza kucover hata eneo kubwa zaidi ya iyo 40 mtrs kwenye miji yao
 
point of correction......umbali wa signal kufika inategemeana na ukubwa na uwezo wa wireless router.....kwenye nchi zilizoendelea wamefunga router zinazoweza kucover hata eneo kubwa zaidi ya iyo 40 mtrs kwenye miji yao

Sijakataa kuhusu wireless router unayozungumza...

Hapa tofautisha Wi-Fi na WLAN wireless network ya kawaida, ambayo mpokeaji shurti awe nae na device ambayo inanasa signal kutoka umbali unaozungumzia like wireless adopter and other moderms ....

Hapa ni hata kilometer kadhaa....ila kwa hoja ya mzungumziaji, hapa tunazungumzia Wi-Fi ambayo kwa asilimia 99 ni ya portable devices ambayo huwezi kufunga tena device eti unase signal...maana yenyewe inakuwa na built-in ambayo kulingana na ukubwa wake haina sababu ya kunasa makilometa kadhaa.

Kawa maana hiyo, divice hizo mara nyingi haziwezi kuwa na sababu yeyote eti ya kunasa futi 150+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…