Who taught you to Smoke!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,937
We makaka,mdada,mbaba,mmama unayesoma hii na unayependa kutembelea humi jamvini nani alikufundisha kuvuta sigara aina yoyote ile,SM,nyota,embassy Marbollo.
Ulikuwa na umri wa miaka mingapi na alikufundisha akikwambia inafaida gani?
 
We makaka,mdada,mbaba,mmama unayesoma hii na unayependa kutembelea humi jamvini nani alikufundisha kuvuta sigara aina yoyote ile,SM,nyota,embassy Marbollo.
Ulikuwa na umri wa miaka mingapi na alikufundisha akikwambia inafaida gani?
K WA BAHATI NZURI sivuti........ nishatumwa sana kuwasha sigara na dingi.......... nishakaa na wavuvi wavuta bangi ................. LAKINI SIVUTI NA SITAKI KUVUTA................. inasemekana pafu moja linakaa miaka saba kifuata
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…