Who is this Man? Mwenye CV yake

Huyu ni Nani? Naomba mwenye CV yake aiweke hapa

Ndiye new boss wa SSIT? Ataweza? Jw watakubali? Vijana wa Nyerere watakubali?
View attachment 3447019
Mvuta bangi fulani muhuni muhuni tu.

Ndo wale wale wa ndiyo mzee hana lolote la maana. Ni mmoja ya watu ambaye hawezi simamia misimamo kuliokoa Taifa dhidi ya udhalimu wa Wanasiasa hasa CCM.
 
Nimekumbuka wimbo wa best nasso_ MAISHA NI UTATA.

Ayaaaaa yayaaaaaaaaa eeeeee

Sina wa kumweleza shidaaaaa.......ni utatataaaaa

Hapo mwanzoooo nilikua na kibanda cha mchichaaaa.... Kilikua kigamboniii ila sio sana ila kilimudu kunilishaaaa ikapita bomoa bomoa eeeeeeee

Ukipata muda usikilizeeeee
 
Huyu jamaa kapigana vita huko urusi dhidi ya Ukraine na alikuwa anakiwasha balaa wakati vita vimeanza yeye akiwa upande wa urusi.Inasemekana ana uzalendo wa Hali ya juu sana na anachukia mafisadi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…