Ni interest za mtu.
Ila Nyerere alikuwa hafundishi darasani. Ila amefundisha kila kitu nchi hii wakati anajenga msingi.
Hakuna kitu ambacho Nyerere hakufundisha, kwa hotuba, vitabu na maamuzi (ukabila, uchaguzi, vyama vingi, muungano, uchumi, mahusomiano ya kimataifa).
Janabi anafundisha kitu gani, maana anaenda kusimamia sera za WHO World kwa upande wa Afrika.