While KQ is at economical Depression ATCL set to receive brand new 2nd B787-8

Hivi hadi Leo kuna mtu toka nje ya Kenya anasafiri na KQ?, pole Zari, ila umejitakia mwenyewe, watu walishaacha kutumia KQ, kwanza ndege zao zimechoka sana, wakati wowote zitachinja watu.
Alafu ni kama wizi ni kawaida kwenye ndege za kq So disappointed in Kenya Airlines. I've been loyal, but you always do me wrong. The other times I've ignored, but not today.
 
Wakenya habari kama hizi mbona huwa hamleti tuone πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


His sasa ni habari mbaya, nadhani watuhumiwa watakua wameiona na kuifanyia kazi...
Mtuhumiwa namba moja ni ....@Janerosaaa njoo huku umjibu Zari the Boss Lady mano-mano....
 
Nyie wakenya mazwazwa sn kingereza kiiingi ili kutupanga wa Tz tuwaone mnajua mengi kumbe tunawaona km hamjitambui af bila aibu mnaropoka kwny media uko kwmb kiswahili ni chenu af mkija kwny nyuzi apa mnajifanya hamkijui kwel nmeamini wale ni mabwana zenu aysee
 
Haaa huyo janerose hawezi kuja bila ya kumwekea picha ya ndizi siunajua tena monkey love banana @janerose
His sasa ni habari mbaya, nadhani watuhumiwa watakua wameiona na kuifanyia kazi...
Mtuhumiwa namba moja ni ....@Janerosaaa njoo huku umjibu Zari the Boss Lady mano-mano....
 
Ni shirika gani wameliuwa? Wameliuwaje?
 
Ndege gani ya ATCL ilishabeba mtalii yeyote?
Kuna ndege ya ATCL inaenda EU?
Kuna ndege ya ATCL inaenda America?
Hakuna!
Watalii mnawabebea Njombe?
Stop stupidity!
We jamaa mbona unajidhalilisha???.
Kwani we kwa uelewa wako unadhani mtalii ni mtu gani!!
 
kwa hiyo ww moja kati ya shida yako kubwa ni kuona ATCL inakuja Nairobi ? usiwe na wasi it will come ... mbona swala la faida na hasara ni given coz hakuna biashara isiyo na faida na hasara ..... usiege mee ktk kuangalia hasara tu ndio maana watu wana struggle kununua ndege mpya kwa ajili ya kuitafuta faida ...hata mashirika makubwa yanapataga hasara ..so we tulia tu
 

Hiyo Kenya uliyoiandika hapo ni Kenya ya kusadikika. Ngoja Uletewe takwimu za upigaji ndiyo utatia akili.
 
Hivi hadi Leo kuna mtu toka nje ya Kenya anasafiri na KQ?, pole Zari, ila umejitakia mwenyewe, watu walishaacha kutumia KQ, kwanza ndege zao zimechoka sana, wakati wowote zitachinja watu.
Formula hujaipata?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama Tz Hakuna ufisadi, mbona Nchi masikini hivo?

te he te he
🀣
Kwa hiyo umeukubali ufisadi wenu??, saa hizi unaanza kueleza mambo ya umaskini. Anzisha uzi nikuoneshe jinsi maisha ya kenya yalivyo magumu beyond the imagenation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…