Muache mwenzio apate raha na mpenzi wake, karma will punish uI Met a lady... kwa mara ya kwanza nikadhani she is just a woman to have fun with kwa hiyo haikua kitu serious, hakuna alietaka kujua situation ya mwenzake ya kimahusiano sababu we were just having fun
Baada ya muda mambo yakawa tofauti, nikaanza kumchukulia serious... Nikataka kufahamu kuhusu yeye na nikagundua alikua na mtu, yeye pia akabadilika she started being concerned tukakubaliana tuvunje mahusiano tuliokua nayo sababu within months tumekua na furaha and we really get along!!
Nadhani jamaa yake aligundua within time kwamba the lady was seing somebody else, kanitafuta contact zangu kazipata
The guy is begging nimuachie kwamba she have a plan with her na wanafuture pamoja, he is desperately begging na kunifanya nijisikie guilty... Nilipojaribu kumshirikisha demu she says she is staying with me!!
I have grown fund of her and I think we were building something so strong
Naombeni ushauri maana at the other side sms za jamaa zinanifanya nijisikie vibaya sana!
I Met a lady... kwa mara ya kwanza nikadhani she is just a woman to have fun with kwa hiyo haikua kitu serious, hakuna alietaka kujua situation ya mwenzake ya kimahusiano sababu we were just having fun
Baada ya muda mambo yakawa tofauti, nikaanza kumchukulia serious... Nikataka kufahamu kuhusu yeye na nikagundua alikua na mtu, yeye pia akabadilika she started being concerned tukakubaliana tuvunje mahusiano tuliokua nayo sababu within months tumekua na furaha and we really get along!!
Nadhani jamaa yake aligundua within time kwamba the lady was seing somebody else, kanitafuta contact zangu kazipata
The guy is begging nimuachie kwamba she have a plan with her na wanafuture pamoja, he is desperately begging na kunifanya nijisikie guilty... Nilipojaribu kumshirikisha demu she says she is staying with me!!
I have grown fund of her and I think we were building something so strong
Naombeni ushauri maana at the other side sms za jamaa zinanifanya nijisikie vibaya sana!