Reward silayo Member Joined Jun 25, 2016 Posts 38 Reaction score 10 Dec 10, 2020 #1 Wanajukwaa kwanza habari za muda huu. Aisee wazo la biashara kwangu limekua kizungumkuti nimewaza beyond the limit yaani hebu mwenye anaweza nipa wazo zuri la biashara maeneo ya Arusha ambayo mtaji wake sio zaidi ya 3.5M naomba anisaidie.
Wanajukwaa kwanza habari za muda huu. Aisee wazo la biashara kwangu limekua kizungumkuti nimewaza beyond the limit yaani hebu mwenye anaweza nipa wazo zuri la biashara maeneo ya Arusha ambayo mtaji wake sio zaidi ya 3.5M naomba anisaidie.
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 Dec 10, 2020 #2 Fungua grocery weka wahudumu wa kike wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi.
Fungua grocery weka wahudumu wa kike wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi.
M mbu wa dengue JF-Expert Member Joined Jun 2, 2014 Posts 9,909 Reaction score 13,288 Dec 10, 2020 #3 Nakazia hapa. Arusha ni mji mgumu sana kipesa lakini watu wanapenda kulewa. Fungua grocery weka warembo wazuri utawapata hata madereva wa bodaboda,kwa nje weka kabati la kuuza chipsi,kuku,mishikaki. Biashara zingine kwa Arusha sikudanganyi utapoteza tu mtaji wako ni pagumu mno Hazchem plate said: Fungua grocery weka malaya wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi Click to expand...
Nakazia hapa. Arusha ni mji mgumu sana kipesa lakini watu wanapenda kulewa. Fungua grocery weka warembo wazuri utawapata hata madereva wa bodaboda,kwa nje weka kabati la kuuza chipsi,kuku,mishikaki. Biashara zingine kwa Arusha sikudanganyi utapoteza tu mtaji wako ni pagumu mno Hazchem plate said: Fungua grocery weka malaya wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi Click to expand...
Reward silayo Member Joined Jun 25, 2016 Posts 38 Reaction score 10 Dec 10, 2020 Thread starter #4 Hazchem plate said: Fungua grocery weka wahudumu wa kike wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi. Click to expand... Kidogo inanipa changamoto kweli especially kwenye maswala ya kiimani kuuza Tungi inanipa shida.
Hazchem plate said: Fungua grocery weka wahudumu wa kike wawili jaza pombe hapo uone Midume inavyomimika kutoka pande zote za nchi. Click to expand... Kidogo inanipa changamoto kweli especially kwenye maswala ya kiimani kuuza Tungi inanipa shida.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,160 Reaction score 72,200 Dec 10, 2020 #5 Nina wazo zuri ila naliuza, siliweki public
Reward silayo Member Joined Jun 25, 2016 Posts 38 Reaction score 10 Dec 10, 2020 Thread starter #6 Joseverest said: Nina wazo zuri ila naliuza, siliweki public Click to expand... Poa
msweety JF-Expert Member Joined Dec 5, 2014 Posts 670 Reaction score 1,563 Dec 10, 2020 #7 Joseverest said: Nina wazo zuri ila naliuza, siliweki public Click to expand... , bei gani mkuu? Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Joseverest said: Nina wazo zuri ila naliuza, siliweki public Click to expand... , bei gani mkuu? Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,160 Reaction score 72,200 Dec 10, 2020 #8 msweety said: , bei gani mkuu? Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app Click to expand... Bei simpo tu hata sio kubwa
msweety said: , bei gani mkuu? Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app Click to expand... Bei simpo tu hata sio kubwa
msweety JF-Expert Member Joined Dec 5, 2014 Posts 670 Reaction score 1,563 Dec 10, 2020 #9 Joseverest said: Bei simpo tu hata sio kubwa Click to expand... Bei simple ni shilingi ngapi? Funguka Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Joseverest said: Bei simpo tu hata sio kubwa Click to expand... Bei simple ni shilingi ngapi? Funguka Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,160 Reaction score 72,200 Dec 10, 2020 #10 msweety said: Bei simple ni shilingi ngapi? Funguka Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app Click to expand... 30k
msweety said: Bei simple ni shilingi ngapi? Funguka Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app Click to expand... 30k
CONTROLA JF-Expert Member Joined Sep 15, 2019 Posts 7,087 Reaction score 23,871 Dec 10, 2020 #11 Joseverest said: 30k Click to expand... Lina guarantee ya muda gani hilo wazo? Warranty yake je ni kipindi gani? lisipofaa 30k yetu itarudi mkuu?
Joseverest said: 30k Click to expand... Lina guarantee ya muda gani hilo wazo? Warranty yake je ni kipindi gani? lisipofaa 30k yetu itarudi mkuu?
Reward silayo Member Joined Jun 25, 2016 Posts 38 Reaction score 10 Dec 10, 2020 Thread starter #12 CONTROLA said: Lina guarantee ya muda gani hilo wazo? Warranty yake je ni kipindi gani? lisipofaa 30k yetu itarudi mkuu? Click to expand... Afunguke sasa.
CONTROLA said: Lina guarantee ya muda gani hilo wazo? Warranty yake je ni kipindi gani? lisipofaa 30k yetu itarudi mkuu? Click to expand... Afunguke sasa.