Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla amefiwa na mwanae

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Waziri wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho saa 10 Wilayani Nzega kwa sasa msiba upo nyumbani kwa Waziri makumbusho nyumba za Mawaziri.

======

Waziri wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho saa 10 Wilayani Nzega kwa sasa msiba upo nyumbani kwa Waziri makumbusho nyumba za Mawaziri.

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameonyesha kuguswa na msiba huo na kuandika “Nimepata maumivu makali baada ya kusikia taarifa ya msiba wa mtoto Zul Hamis Kigwangala. Inna Lillah waina ilaih raajiun. Pole sana kwa msiba ndugu yangu Hamis Kigwangalla na mola akupe subra katika mtihani huu mkubwa, mzito sana. Tupo pamoja nawe. Tumshukuru Allah kwa yote”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…