Wazazi washauriwa watoto wasilale na chuchu mdomoni, Madaktari wasema kuna madhara makubwa

Jemmie

JF-Expert Member
Mar 6, 2018
216
285
Daktari bingwa wa afya ya kinywa na meno kwa watoto wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Conrad Mselle ameishauri jamii kutokumwacha mtoto alale na chuchu ya mama mdomoni hasa wakati wa usiku kwa kuwa bakteria wanaoishi mdomoni hutumia sukari kuzalisha tindikali inayosababisha meno kuvunjika.

Niwashauri wazazi kusafisha vinywa vya watoto wao mara baada ya kuwapa dawa za maji (syrup) kwa kuwa kutokufanya hivyo bakteria huitumia kuzalisha tindikali na kuharibu meno,” alisema Dk. Mselle.
 
Hiyo ni rahisi sana kuidhibiti ndugu daktari.Ni suala la kumnyofoa mwanetu,baba naweka lips kwa nyonyo,ni mnyonyo kwa kwenda mbele.Na si ndiyo mlishauri mnyonyo unawaepusha ndugu zetu na kansa ya matiti? Sina nyongeza mkuu!
 
Umeelewa kweli?


Sent using Jamii Forums mobile app

Katika muktadha huu ni vigumu kujua nimeelewa au la.Huenda nimeelewa ila wewe ndiye hujanielewa mimi.

Mimi nilichoelewa ni mtoto asilale huku akiwa na chuchu ya mama kinywani.Sasa mimi naona ni rahisi kupunguza tatizo, namnyofoa mtoto najiweka mimi.

Kama sijaelewa pia fafanua wewe sasa kuliko kuuliza tena.
 
Katika muktadha huu ni vigumu kujua nimeelewa au la.Huenda nimeelewa ila wewe ndiye hujanielewa mimi.

Mimi nilichoelewa ni mtoto asilale huku akiwa na chuchu ya mama kinywani.Sasa mimi naona ni rahisi kupunguza tatizo, namnyofoa mtoto najiweka mimi.

Kama sijaelewa pia fafanua wewe sasa kuliko kuuliza tena.

IMG_4437.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nililiona hili,lakini nikafuta wazo hilo kutokana na kauli hii:

"...kutokumwacha mtoto alale na chuchu ya mama mdomoni hasa..."

Kwahiyo,kifaa hiki ndiyo kinaitwa chuchu ya mama?
Hebu nisaidie hapo,nitoe ujinga

Upo sahihi hapo kwenye chuchu ya mama hapo sikupaona
Nilikurupuka 🤣🤣🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daktari bingwa wa afya ya kinywa na meno kwa watoto wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Conrad Mselle ameishauri jamii kutokumwacha mtoto alale na chuchu ya mama mdomoni hasa wakati wa usiku kwa kuwa bakteria wanaoishi mdomoni hutumia sukari kuzalisha tindikali inayosababisha meno kuvunjika.

Niwashauri wazazi kusafisha vinywa vya watoto wao mara baada ya kuwapa dawa za maji (syrup) kwa kuwa kutokufanya hivyo bakteria huitumia kuzalisha tindikali na kuharibu meno,” alisema Dk. Mselle.
kama bado hajaota meno
 
Back
Top Bottom