Josee Munyama
Member
- Jun 15, 2015
- 42
- 35
Tunauza Magari used aina yote tuko dar piga Simu 0717673698 kwa Mawasiliano
Mi npo serious Jo nataka Toyota hiace ambayo Bado ipo stamina.. Na inafanya KazHizo sample tu ukija WhatsApp utasema unayotaka unatumiwa gar na bei no hizo hapo juu
Nicheki WhatsApp kwa voda hiyoMi npo serious Jo nataka Toyota hiace ambayo Bado ipo stamina.. Na inafanya Kaz
Kwa hiyo asiyekuwa na whatsapp humuhitaji? Hii ni bureaucracy kwenye biashara haifai kama kweli unajua biashraHizo sample tu ukija WhatsApp utasema unayotaka unatumiwa gar na bei no hizo hapo juu
Hizo zote utazipata na kujua bei kupitia WhatsApp 0768302047Hiyo alteza bei gani mkuu
tangazo umeweka jamii forum, ila mazungumzo unataka yafanyike whatsapp! wabongo tuna safari ndefu sana! basi na hayo matangazo yako yaweke huko huko whatsapp usituletee humu jamii forumHizo zote utazipata na kujua bei kupitia WhatsApp 0768302047
Ipi ya kijan au silver?Hiyo alteza bei gani mkuu
SilverIpi ya kijan au silver?
Hahahaa mkuu kuna uhusiano gani kati ya hiko chama na matumizi ya whatsup?Eti bei whatssp kweli ccm imeharibu vijana na hili ni janga la Taifa
Ccm imelemaza vijana wengi uwezo wao wa kufikiri sana na ndio maana kama taifa tupo hapa ambapo Mungu hakutaka tuwepo hapa!Hahahaa mkuu kuna uhusiano gani kati ya hiko chama na matumizi ya whatsup?