mimi kama mwanasheria nimesoma sheria ju ya Ndoa ya Mwaka 1971 kweli , vipigo havijandikwa kwenye sheria mama ya Ndoa ya 1971 na hata katiba inasema mtu aki,osea apelekwe Mahakamani kulingana na kifungu kikubwa cha 13 cha Katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kama ilivyobadirishwa mwaka 2005 inasema haki sawa ya Kisheria.
Vijinaume vinavyodunda wake zao vinajifanya vyenyewe ndio mahakama na ndio polisi na ndio serikari( Nguzo tatu za Taifa ni Mahakama, Bunge na Excutives( President and the excutives)
Kwa hiyo mwanume huyo huyo anatunga sheria anaitafusiri( Mahakama) na anainforce
tembelea blogy yangu ya
www.mwanasheriajames.blogspot.com upate mawazo mengi