Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Nikweli, na mchawi wetu mkubwa kwetu Afrika,,,,ni kwamba tafsiri yetu ya "maendeleo" kuwa ktk umiliki wa vitu tu, magari, nyumba na fedha. Utaalamu wetu unafishwa na dhana hiyo tu. Wote tunashea tafsiri moja tu, daktari, mhasibu, injinia na wengine wote tunashea hilo tu.
Tukiibadili na kuweka dhana mpya, ya kwamba maendeleo yapo ktk kufikia "ufanisi" wa majukumu yetu, tutafika tu huko. Ndo maana watu wanazikacha field zao na kukimbilia siasa kwakuwa ndiko fedha, mahekalu na magari ya kifahari yanakopatikana kiurahisi.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.
Ni kweli Mkuu kwa wenzetu madokta wao wapo makini hawa wa kibongo 70% ni makanjanja si unakumbuka operation kichwa kafanyiwa wa goti goti kafanyiwa kichwa sasa ukiwapa watoto hawa hawakawii kung'oa vichwa na kuvihamishia miguuni.