Watoto BALAA Hawa!

hata kwetu wapo
tehetehetehetehet af ujue
hao wanagida vilivyoenda schoool
huku kwetu uswazi wanapiga
gongo .na mataptap ya kila aina
 
Balaa ni wazazi wa kipindi hiki ambao hawajui kulea,wanajifanya wanawapenda watoto wao kumbe wanawaharibu .Maana mtoto hawezi kujinunulia pombe wala sigara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…