Watangazaji ITV wanaaibisha

Haaaa unataka kuniambia hata ajavuta hisia kwamba yule mwanamziki wa marikani wanamuitaje lol kesi murai(Keith Murray)
 

Kama hatusaidii kulikuwa na haja gani ya kutangaza taarifa zake?
 
Hii si issue, bali aibu ni jinsi walivyohandle matangazo ya Uchaguzi Arumeru Mash. Na sisi tumeandika humu hata kama tumebaniwa kinamna hakuna shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…