Watangazaji ITV wanaaibisha

Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni kazi kurekebishika
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu
 
Cha msingi ujumbe uliuelewa. Hata wewe unaherufi zinakushinda na hii inaitwa "LAFUDHI YA MAMA"/"MOTHER TANG" hii kurekebishika ni NGUMU SANA
Mfano
Wasukuma/Wahaya/Wachaga/Wamakonde/Waarusha /n.k hata kama ni msomi/waziri/katibu mkuu/mkuu wa mkoa/n.k akiongea kiswahili unamjua kwa lafudhi yake japo maneno ni ya kiswahili
Na hii ni kwa kila kabila sio hayo tu
 
unachoongea ni kweli lakini kumbuka hata wazungu baadhi ya majina ya kiafrika yanawasumbua kutamka nao tuseme hawajasoma? Mkuu tofautisha neno na jina.
Daah..! Nimeipenda sana hii, sina nyongeza tena katika hili. Mkuu keshamaliza.
 



murai na mari, wapi na wapi?

ingekuwa hata kasema mali instead of mari would make a sense.
 


hapo penye nyekundu panaonyesha hata ww usomaji wako una mashaka.....ni mtizamo tuuu!
 
Tanzania tuna matatizo mengi mno. Sometimes embu tuwe tunajadili namna basi ya kutatua baadhi ya hayo matatizo! Mtu anakurupuka anaanza kuponda matamshi ya mtangazaji na anaendelea kushikia bango kana kwamba angetamka vizuri kama anavyotaka basi matatizo ya madawati mashuleni, madawa hospitalini, mfumko wa juu wa bei n.k yangeisha. Kama huna kazi ya kufanya naomba unitafute kwani kuna kazi kibao tu za kupara-miwa TPC,Kilombero, Kagera n.k nikuunganishe.
 
tafuta jukwaa lake au ulijua iyo nayo siasa? Na pia ilo ni kosa la kibinadamu tu au una yako mengine, leta hoja za msingi wengne 2nawaza itakuaje matokeo we unaleta habari ya kupronounce jina la mzungu
 
Sasa hapo sijui umenielimishaje!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! weka sauti yako basi nisikie wewe unavyolitamka, hapa umeandika tu jina hebu litamke! Na ni kwanini unamfuatilia sana huyo jamaa kila taarifa ya habari?
 
watanzania niwagumu sana kuelimishwa nime prove hilo.

any way i'm tired with this, mwenye uwerevu alichukue mwenye ulimbukeni aliache.

kama nimekukera leave me alone.
 
pole bana maana wamekushambulia sana,lkn kila mtu na fani yake,kuna majina yamezoeleka kwa watu wa fani fulani,kwani mfano hbr za michezo,afya n.k,hapa ndipo utata unapotokea na pia kuna waandishi na watangazaji ambao hawataki au wazembe wa kujifunza vitu,wengine hawafuatilii kabisa hbr za michezo na huku wanatangaza hizo habr,kwahiyo sio vyepesi kutamka majina hayo kwa usahihi,na pia tujue kuwa majina ya watu huwa hatufundishwi kuyatamka kwani majina yako tofauti sana na hutamkwa kulingana na sehemu na lafudhi ya watu,nenda nigeria ndo utaona kama wanakosea ama la!!
 
hawa waliosoma st.academy wana tabu sana,.kuna mzungu mmoja anatamka jina la haule eti houl..na mimi ananikera!
 
Du,kazi kweli kweli.Full kujibizana kama wanawake wameshikana umbea.

Kazi kweli kweli.
Kaziiiiiiiiii
 
Hakika hata mimi huwa nashangaa! Kwa nini hawafanyi rehearsals kabla ya kwenda live! Majina mbali mbali ya watu,vitu na mahali huwa utata kwa wasomaji karibu TV zote hapa nchini.
 
kwani hao watangazaji ni waingereza mpaka wajue jinsi ya kulitamka? Na wakishaweza kulitamka kama waingereza ina tija gani kwa taifa?

Acha kutawaliwa kifikra wewe!
 
unachoongea ni kweli lakini kumbuka hata wazungu baadhi ya majina ya kiafrika yanawasumbua kutamka nao tuseme hawajasoma? Mkuu tofautisha neno na jina.

Uko sahihi kabisa mkuu, amekurupuka huyo dot com
 
Chalii wa moshi umekunywa wapi hicho kitochi jamaa angu aisee! au umekunywa piwa njoro nini mangi.
 
Jamani inatisha. gari lenye masanduku ya kura zilizokwisha pigwa limeshukiwa na makamanda na hivyo kulifuatilia kwa karibu. baada ya kugundua kuwa linafuatiliwa watu waliokuwemo wakatoa silaha kutishia makamanda. Sijapata vizuri imekuwaje baada ya pale nini hiki magamba wanataka kufanya?
source; star tv mchana huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…