Wataalamu wa kupata mashine

Wataalamu wa kupata mashine

Elias Bihemo

Member
Joined
Jul 4, 2017
Posts
22
Reaction score
8
Habari wanajamvi,

Mimi ni mjasiriamali Mdogo ambaye kwa sasa nmejikita katika kutengeneza bites lakin uzalishaji wangu umekua n wakusua sua kutokana na kukosa vitendeakazi,

Ukosefu huu unatokana na udogo wa mtaji na kutopatikana kwa baadhi ya vifaa hata kama pesa ipo ya kuvinunua,

Sasa naomba kwa yeyote anaejua napoweza kupata machine ya kunyoosha unga wa ngano ulokwisha kandwa, kwajil ya kupata chapati ya kutengenezea sambusa anipe maelekezo jinsi ya kupata machine hiyo,

Ahsanteni
 
Back
Top Bottom