Mkuu hua haya mambo si ya kubahatisha!Huu uzi n wa mizinguo tu hamna mwenye hiyo program,..hata mmoja aliendika nae anaitafuta
Sasa hyo software inaitwajeMkuu hua haya mambo si ya kubahatisha!
Angalia ushuhuda huo hapo chini ya mkuuu niliempa maujuzi!
Yakikutokea puani mimi simo mana unaweza ukutane nayo ya kufisha( yakuvunja moyo) tusilaumiane.View attachment 954983
Ni kwamba kutaja hiyo software au jinsi ya kufanya hadi mtu abembeleze au namna gani, maana kila mtu anazunguka zunguka tu. Hamna anayeenda straight kwenye nini cha kufanya.Kudukua ni simple,tena kwa free software...simu yoyote haichomoki! 5MB tu software size yake! Unasikiliza call recordings,sms,kama simu yake ipo rooted hadi wasap insta na snapchat hadi email zake utasoma.
Utawesa kuangalia screen yake na ukajua anafanya nini au anachat nini au anaangalia nn kwenye simu yake kwa wakati huo,utaweza kutumia camera ya simu yake na kuona yupo wapi na anafanya nn wakati huo unapomcheck!
SIMPLE
Kuna mtu kasema anaweza.. ngoja tumsikilizeNi kwamba kutaja hiyo software au jinsi ya kufanya hadi mtu abembeleze au namna gani, maana kila mtu anazunguka zunguka tu. Hamna anayeenda straight kwenye nini cha kufanya.
Uduakuaji wa kushika simu ya mhusika hata Mimi nilishafanya sana. Truthspy inawezesha hiyo mambo.
Natafta jinsi ya kuhack remotely kwa kutumia email, or imei or phone number bila kushika simu ya mtu.
We tunakupm hujib ndio nn sasa?Njoo inbox na isipofanya kazi I pay u! na uje utoe ushuhuda hapa
Mbn wengine amtuelekez jmnMkuu hua haya mambo si ya kubahatisha!
Angalia ushuhuda huo hapo chini ya mkuuu niliempa maujuzi!
Yakikutokea puani mimi simo mana unaweza ukutane nayo ya kufisha( yakuvunja moyo) tusilaumiane.View attachment 954983
Je ukiwa namba yake inawezekanaKudukua ni simple,tena kwa free software...simu yoyote haichomoki! 5MB tu software size yake! Unasikiliza call recordings,sms,kama simu yake ipo rooted hadi wasap insta na snapchat hadi email zake utasoma.
Utawesa kuangalia screen yake na ukajua anafanya nini au anachat nini au anaangalia nn kwenye simu yake kwa wakati huo,utaweza kutumia camera ya simu yake na kuona yupo wapi na anafanya nn wakati huo unapomcheck!
SIMPLE
Nielekeze hiyo ya namba mkuuNi kwamba kutaja hiyo software au jinsi ya kufanya hadi mtu abembeleze au namna gani, maana kila mtu anazunguka zunguka tu. Hamna anayeenda straight kwenye nini cha kufanya.
Uduakuaji wa kushika simu ya mhusika hata Mimi nilishafanya sana. Truthspy inawezesha hiyo mambo.
Natafta jinsi ya kuhack remotely kwa kutumia email, or imei or phone number bila kushika simu ya mtu.
Nmeku pm mkuuHayo mambo si krahisi kama unavyodhani! ikawa matangazo! na si lazima tujue wote! wote tukijua nani atakaedukuliwa? ukiwa serious utajua
yes hii ni kweli kuna hiyo teknolojia...yaan ukiamua kumpiga picha unaweza...unachofanya unatuma request kwenye cmu yake then inampiga pichaKudukua ni simple,tena kwa free software...simu yoyote haichomoki! 5MB tu software size yake! Unasikiliza call recordings,sms,kama simu yake ipo rooted hadi wasap insta na snapchat hadi email zake utasoma.
Utawesa kuangalia screen yake na ukajua anafanya nini au anachat nini au anaangalia nn kwenye simu yake kwa wakati huo,utaweza kutumia camera ya simu yake na kuona yupo wapi na anafanya nn wakati huo unapomcheck!
SIMPLE
usanii tuu lakin hakuna kituNmeku pm mkuu
tang wameanza kutuambia tutapewa hyo program.usanii tuu lakin hakuna kitu
Maana ya kuuleta huu Uzi ni kwamba mtu ambae hata aufanyie kaz bas anasoma anapita zake. Ila kuna ambao wanashida na wanahtaji kujua ni app ya aina gani na unadukuaje sasa wengi wanaozijua wanazunguka tu hata hawatoi majibu sahihi!Hayo mambo si krahisi kama unavyodhani! ikawa matangazo! na si lazima tujue wote! wote tukijua nani atakaedukuliwa? ukiwa serious utajua