Unaanza kuvuna miaezi mitatu baada ya kuzipanda. Utaendelea kuvuna kwa miezi 8 hadi 11. Ingia Google kuna material mengi kuhusu greenhouse, au ingia Youtube uangalie, kama ngeli inapanda utaelewa huko. Mimi mwenyewe nimalizia kuweka miundombinu sawa ili nianze kulima