Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 333
Press TAB tuone inakuaje, mkuu solutions zinazohusiana na IT ziko nyingi sana kama zilivo problems zake, windows os ni user friend yenyew ndio inakufundisha wew uitumie ebu jaribu jaribu alafu utupe feedbak
0757032976 nipigie nikuelekeze.
Mkuu kilichonishinda ni kuju TAB ipo wapi kwenye keyboad, naomba unijulishe ilipo TAB kwenye
keyboad.
Down here is the basic layout ya keyboard kwa kompyuta zitumiazo Windows OS...
Mkuu watu8 mimi hapo sijakuelewa, nataka kujua tu TAB iko wapi.
First column third row on your left...
Upande wa kushoto kuna kitufe kimeandikwa TAB, juu ya maandishi CAPS LOCK
First column third row on your left...
Upande wa kushoto kuna kitufe kimeandikwa TAB, juu ya maandishi CAPS LOCK
Mkuu watu8 asante na tatizo nimefanikiwa kulitatua, ila kwenye keyboad yangu hakuna kitufe kilichoandikwa TAB.
Mkuu watu8 asante na tatizo nimefanikiwa kulitatua, ila kwenye keyboad yangu hakuna kitufe kilichoandikwa TAB.
Mkuu watu8 asante na tatizo nimefanikiwa kulitatua, ila kwenye keyboad yangu hakuna kitufe kilichoandikwa TAB.