Pole sana, jamani tufungue macho hata kama wanasema LOVE IS BLIND. mtu inafikia unatambulishwa kama KAKA alafu unaendeleza libenenke??????!!!!!! pressure nyingine tunajitakia wenyewe, mapenzi ni two way traffic kama hupendwi jua hupendwi na sio mwisho wa dunia. learn to live with it and as time pass utapona vidonda na kumpata uliyefanana naye.
NI HAYO TU.