muungano wa tanzania ni wa nchi mbili TANANGAYIKA NA ZANZIBAR mnatia huruma sanaaaa kuona mmefuta tanganyika yenu zanzibar itaendelea kuepo milele .muungano hatutaki wa aina hii nyinyi msitunganganie mnatudhulumu leo hii mnasema nyinyi mnatufadhali someni vijana msipige zogo tu angalieni history ya zanzibar msisome vita vya majimaji tu.