M magis JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 392 Reaction score 590 Dec 25, 2017 #1 Hbr wapendwa Ninawakumbusha wasanii kuachana na mawazo ya kufanikiwa kupitia siasa. Watambue kuwa kazi yao ni ya thamani na ndiyo itakayowapa mafanikio.
Hbr wapendwa Ninawakumbusha wasanii kuachana na mawazo ya kufanikiwa kupitia siasa. Watambue kuwa kazi yao ni ya thamani na ndiyo itakayowapa mafanikio.
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,433 Reaction score 38,402 Dec 25, 2017 #2 Mkuu unamsema nani?
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,401 Reaction score 23,191 Dec 25, 2017 #3 Tuwekee wimbo mkuu
M magis JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 392 Reaction score 590 Dec 25, 2017 Thread starter #4 Slim5 said: Mkuu unamsema nani? Click to expand... Hapana Najaribu kuona jinsi Sanaa inavyopoteza mvuto ktk jamii na wao wenyewe kuwa ktk makundi yasiyo na tija kwa kazi yao
Slim5 said: Mkuu unamsema nani? Click to expand... Hapana Najaribu kuona jinsi Sanaa inavyopoteza mvuto ktk jamii na wao wenyewe kuwa ktk makundi yasiyo na tija kwa kazi yao