Kwani mleta uzi unawazungumzia wasanii gani ka ma hao waimbaj sijui waigizaji umesahau kwamba sizonje aliwapigia simu anawapenda na ukimtoa wema na shamsa roma naymitego na nikimbishi waliobaki wote team lumumba ulitegemea waseme nini mwana pendwa si boss wao subiri washikwe nyeti nawao watatoa mshindo? [emoji57][emoji57]