Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,950
- 23,267
Sawa nilikimbia shuleUzi huo nenda mwenyewe na wakuda wenzio.
Diamond ni minority s/holder hapo wasafi(45%),tatizo ulikimbia shule unasubiri watu waje wakutafsirie kwny uzi gani sijui huko.
Sadam 🤣Kuwa tu mpole ndugu yangu, Ndugu Majizzo.
Hicho ulichoandika hapo ni nini?bali hata "100,000 OF PROFESSIONALISM. "
Clouds Fm kwa ubunifu ni namba moja mkuuTuwe wakweli mpaka sasa ni Radio gani ina sikilizwa na watu wengi?
Adam mchomvu hata wewe upo humu?Clouds Fm kwa ubunifu ni namba moja mkuu
Wasafi Media ilianza kwa mbwembe nyingi, lakini muda unavozidi kwenda naona hamna jipya. Nilitegemea Wasafi wataleta vitu vipya.
Muda unavozidi kwenda, yaani wanaonesha dhahiri hawana jipya kwenye industry ya media zaidi ya c&p. Vipindi vyote vya redio ni c&p ya Clouds. Mmeweka Michezo asubuhi baada ya kuona Efm wanafanya. Mkagawa mafuta bure baada ya kuona Efm wanafanya.
Refresh kipindi cha jioni mkaona muige kabisa EATV jinsi wanavoenda mtaani kuchukua maoni ya watu. Kipindi cha Uswazi cha EATV mkaona kabisa mkilete kwenu ila mkabadilisha jina tu.
Ushauri: Diamond Platnumz utapoteza pesa nyingi kununua watu ili ubebe media yako lakini utashia kupoteza pesa yako bure.
Wasanii wanalalamikia TV yako especially Wachanga kwamba hupigi nyimbo zao. Unapiga za Nigeria na nje.
Wasafi Media ilianza kwa mbwembe nyingi, lakini muda unavozidi kwenda naona hamna jipya. Nilitegemea Wasafi wataleta vitu vipya.
Muda unavozidi kwenda, yaani wanaonesha dhahiri hawana jipya kwenye industry ya media zaidi ya c&p. Vipindi vyote vya redio ni c&p ya Clouds. Mmeweka Michezo asubuhi baada ya kuona Efm wanafanya. Mkagawa mafuta bure baada ya kuona Efm wanafanya.
Refresh kipindi cha jioni mkaona muige kabisa EATV jinsi wanavoenda mtaani kuchukua maoni ya watu. Kipindi cha Uswazi cha EATV mkaona kabisa mkilete kwenu ila mkabadilisha jina tu.
Ushauri: Diamond Platnumz utapoteza pesa nyingi kununua watu ili ubebe media yako lakini utashia kupoteza pesa yako bure.
Wasanii wanalalamikia TV yako especially Wachanga kwamba hupigi nyimbo zao. Unapiga za Nigeria na nje.
kwa upande wa Tv Tanzania ITV wanahitaji heshima sana, hizi channel nyingine ni utopoloWasafi Media ilianza kwa mbwembe nyingi, lakini muda unavozidi kwenda naona hamna jipya. Nilitegemea Wasafi wataleta vitu vipya.
Muda unavozidi kwenda, yaani wanaonesha dhahiri hawana jipya kwenye industry ya media zaidi ya c&p. Vipindi vyote vya redio ni c&p ya Clouds. Mmeweka Michezo asubuhi baada ya kuona Efm wanafanya. Mkagawa mafuta bure baada ya kuona Efm wanafanya.
Refresh kipindi cha jioni mkaona muige kabisa EATV jinsi wanavoenda mtaani kuchukua maoni ya watu. Kipindi cha Uswazi cha EATV mkaona kabisa mkilete kwenu ila mkabadilisha jina tu.
Ushauri: Diamond Platnumz utapoteza pesa nyingi kununua watu ili ubebe media yako lakini utashia kupoteza pesa yako bure.
Wasanii wanalalamikia TV yako especially Wachanga kwamba hupigi nyimbo zao. Unapiga za Nigeria na nje.
Endelea kusubiria meli Airport.Ila hakuna kipya chini ya jua.
Laki = lack = 100,000Hicho ulichoandika hapo ni nini?
Wasomi mnatutesa na lugha zenu
Bado sijaelewaLaki = lack = 100,000
Hakuna kipya chini ya jua,kinachofanyika modification tu basi.Ingekua hivyo tungezaliwa na kuzikuta smartphones, smart screens, smartshops e.t.c
Creativity is an inborn character! Only polished to the desired aspect.
Hazard kweli kabisa,hivi ni lazima kusoma taarifa ya habari tvii zote kwa wakati mmoja?Mpk tunaanza kurukaruka kwa kusoma highlights baada ya hapo tunawawekea watoto cartoon,hamna jipyaItv utv tbc star tv hazinaa ubunifu wote wanasoma taarifa za habari saa 2
Supersport sky sport, canal sport ubunifu zero wote wanaonyesha epl game ya live mda mmoja
Wangekuwa wanasikilizwa sana na watu potential basi wangekuwa na traffick ya matangazo ile mbaya..Kipindi chao cha michezo ndo kinachosikilizwa sana na ni kwa sababu wasikilizaji wengi wa redio bongo wanafuata content za michezo.Tuwe wakweli mpaka sasa ni Radio gani ina sikilizwa na watu wengi?
Mbona naona na Wewe ambaye umezungumza ujaleta Fact, Duniani kuna radio format zaidi ya Buku ila kwa media kama clouds wao ndio walichagua format moja ambayo media zilizokuja nyuma zote zili copy and paste.Mleta mada pengine hujui chochote kuhusu kazi za ubunifu..unaonekana wewe ni mlaji wa mwisho usiyejua chochote
Hakuna kipindi chochote kipya kwenye TV au redio yoyote hapa duniani ambacho hakijawahi kusikika sehemu nyingine..hakuna
Kwa sababu what u think is originality is undetected plagiarism.
Every thing that need to be said has already been said.But since no-one was listening, everything must be said again
Hata hao clouds au East Africa TV Wana imitate vilevile sehemu zingine..mfano kipindi cha mwanga kwenye kiza cha clouds TV kimewahi kufanyiwa Kama kile kwenye TV Fulani huko Nigeria
"Copy copy copy copy.At the end end of copy u will find yourself" Yohji Yamamoto
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sawa Adam mchomvu umeeleweka..off-sir 😁😁Mbona naona na Wewe ambaye umezungumza ujaleta Fact, Duniani kuna radio format zaidi ya Buku ila kwa media kama clouds wao ndio walichagua format moja ambayo media zilizokuja nyuma zote zili copy and paste.
So speaking of creativity CmG wako Tu hapo yaani.