hivi video ya dr ulimboka, Ikulu na Kova imeishia part gani..
ana kijana wake anaitwa Zacharia, mmiliki wa mabasi ya zacharia trans, jambazi mkuu wa mgodi wa north mara na tarime yote. Hawa jamaa ukiwa kanda ya ziwa usiwaguse. Ndie huyu gachuma na wenzie wamemjengea hekalu mkuu wa kaya capripoint kama zawadi mambo yao yaendelee. Hapa nawataja kina la kairo, kitano etc. Yan kuna tycoon wa kikurya wamezaliwa mwanza na wapo kuchuma hela, kwa namna yoy6te ile iwe halali au haramu
nafanyia kazi taarifa zenu, nawaahidi after five years nitakuwa rpc and the first thing i will do ni kuua hao tycoon mark my word. Sipo tayali kabisa kuona majambazi wanafanya wanachotaka.......naomba ushirikiano wenu....endeleeni kunipa taarifa hiizi kwangu mimi, hizo ndo taarifa za kiitelijensia
shuhuda amesema dada alimpigia simu kumweleza 'anakuja na MGENI anayetaka kupafahamu anapokaa'. Hii inafuta kabisa hadithi ya 'marehemu alikuwa anamrejesha dada yake nyumbani'
Nadhani kuna kundi fulani hapa TZ linadhani waTZ bado ni walewale wa 90s. Kuna mshangao mkubwa unakuja
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,mficha maradhi mauti umu umbua,kijana wetu kanumba alificha atembei na LULU hatimaye tumegundua yeye kafariki
yes !!he is gone....!! the issue is to find who the heck is behind it...today is barlow....tomorrow is ....he was targeted, hunted, murdered, killed, revenged, retaliation, betrayal, assasinated, kicked the bucket...etc etc, whatever u can call it he is damn gone.!
Niliwahi kusafiri Mwanza miaka ya nyuma late 1990's,na niligunduwa hilo,criminals walikuwa wakimwabudu kama God Father wao,sasa nimeshangazwa sana kusikia eti ni mtopu wa ccm.Kama kuna mtu anaweza kuwasaidia kumjuwa aliyemwua huyo kamanda,basi ni huyo Gachuma,huyo anaheshimika huko kuliko hata rais wa nchi.Tena especially na criminals.
I align with you. inline with you.Huko kwetu kuna jamaa ni diwani wa kata fulani na ana pesa kama serikali. ni mtu hatari. jambazi, muhujumu ... mbali na kuwa na shule ndogo diwani huyo kwenyw Almashauri ya Wilaya Muleba kupitia CCM ameongeza umasini kwa watanzania kwa kuwaibia mifugo na kuichanganya kwake. Pia humiliki biashara ya samaki na dagaa. Wavuvi wamezamishwa sana. Kwakifupi kamanda kauliwa kwa issue za kisiasa na CCM wanajua
Doroth anaweza kuwa na ukweli wote.Ukweli upi tuambie basi, maana tunasikia mengi, mara Tai 5 mara Florida, sasa kipi ni kipi?
Kuna mambo mengi ambayo hayako wazi hadi muda huuUkweli upi tuambie basi, maana tunasikia mengi, mara Tai 5 mara Florida, sasa kipi ni kipi?
No nonsense stance on discipline? May be the word discipline got a new meaning.Mr Barlow was shot dead early yesterday by a gang, which did not take anything from him.The circumstances of the killing show that he was eliminated it was an assassination, which probably had something to do with his relentless and highly effective fight against organised crime in the region and no-nonsense stance on discipline in the Police Force in the region, said a source who did not want to be named for fear of reprisals.
source ;the citizen
Kuna mtu huko Mwanza anaitwa Gachuma,huyo hata crimininals wanamwabudu.
Mimi naona kama tunapotoshwa na hadithi za Katulanda. Tanzania tuna uhaba kama siyo ukosefu wa Waandishi Wachunguzi ndiyo maana hata Taarifa ya Uchunguzi wa mauaji ya Mwangosi iliyotolewa na Waandishi wa Habari imeandikwa kama hadithi ambayo mwisho wake unatatanisha. Kwa tukio la Mwanza, Nasema No assassination, Mr Barlow was killed! Tutakapoingiza maneno ya assassination tutakuwa tumepotezwa. Lakini kwa kuwa uchunguzi unafanywa ebu tuone tutaelezwa nini!
mkuu hebu funguka zaidi baada ya kusoma hayo maelezo ya maana ya assassinationAssassination is the murder of a prominent person or political figure by a surprise attack, usually for payment or political reasons.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP]
An assassination may be prompted by religious, ideological, political, or military motives; it may be carried out for the prospect of financial gain, to avenge a grievance, from the desire to acquire fame or notoriety (that is, a psychological need to garner personal public recognition), from the wish to form some kind of "relationship" with a public figure, or from the desire (or at least the willingness) to be killed or commit suicide[SUP][citation needed][/SUP] in the act.