Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 352
- 170
Nimepiga baadhi ya picha na nimeamua kuziweka hapa. Hii ya kwanza nimeona nianzie ya Ku-copy maana huko mie sikuwepo na picha zinapigwa na Maro wa hapa ambaye na yeye amekufa. Mpiga picha wa first lady alikosa kiti kwenye ndege na akabaki, ndiyo amebaki hai.
Pichani, Rais Lech Kaczynski siku alipokea makaratasi ya balozi wetu Ngemera aliyeko German na akiwakilisha pia Tanzania kwa Poland. Picha ya Pili ni Ngemera na Siwa (ubalozi wa Tanzania, German) wakiwa mbele ya President Palace.
Picha nyingine ntajitahi kesho nikachukue maana leo kulikuwa na watu wengi hadi inaleta uvivu kwenda mbele. Na kibaridi/kimvua kilinikimbiza.
Pichani, Rais Lech Kaczynski siku alipokea makaratasi ya balozi wetu Ngemera aliyeko German na akiwakilisha pia Tanzania kwa Poland. Picha ya Pili ni Ngemera na Siwa (ubalozi wa Tanzania, German) wakiwa mbele ya President Palace.
Picha nyingine ntajitahi kesho nikachukue maana leo kulikuwa na watu wengi hadi inaleta uvivu kwenda mbele. Na kibaridi/kimvua kilinikimbiza.