Nilijua Warembo kumbe wareno nilitaka niulize chaga zinavunjwa wapi huko?Ila sasa hapo mimi nitakimbizana na parachichi na glass ya mvinyo hapo!Hakika leo ndo kipomo halisi cha kuonesha ya kuwa sisi si watu wa kawaida....
Leo afe kipa afe beki lazima goli zifungwe tu, tuwadunge midomo hawa wadharau miba. Haitakuwa kazi nyepesi ila moto atauona, Anafikiri ukubwa wa mwili ndo una reflect mijegeje?
View attachment 3623855
Leo muhispania kazi anayo
Heshima lazima iwepo na hawa kizazi kipya wanaodhani talent beats discipline leo ndo watajua hawajui,
We didn't come this far to end here.
The only GOAT π is CR7
View attachment 3623856
Goat wa ureno ni nani kwani wengine sii wanasoccer,pale tunaikutatunakula burudani bila stress wala shida ya ushabiki sumbufu!Uwanjani pale goat mwenyewe atakavyo Fanya kile watu tumezoea