Kwa Tanzania mtaibiwa sana msinunue hapa,ingia Ebay front screen(kioo cha juu) kule unapata kwa $5 tu au 7 kikiwa na vifaa vya kubandulia kile kioo cha zamani na gundi la kibandikia kioo kipya ukishanunua wewe andaa ela tu ya fundi basi....zaidi ya hapo utaambiwa mpaka laki 2 kwa wizi wa watanzania mimi yamenikita kata kama hayo kwa samsung s4 kioo cha juu kubadilisha maambiwa laki 1.8 wakati ebay kioo $5 kwetu wizi mtupu