Yap tunaweza jua price ya hicho kioo plus na ufundi coz nna moja kama hio tatizo lake kwa mafundi wa posta wananiambia 230k hapo bado sijaenda kwa sele fundi mkuu mwenyewe , sasa hio 230k sibora ninunue anather gud smart 4ne
Msaada wa k/koo anaeweza nifanyia bei nzuri..
Yap tunaweza jua price ya hicho kioo plus na ufundi coz nna moja kama hio tatizo lake kwa mafundi wa posta wananiambia 230k hapo bado sijaenda kwa sele fundi mkuu mwenyewe , sasa hio 230k sibora ninunue anather gud smart 4ne
Msaada wa k/koo anaeweza nifanyia bei nzuri..
Mkuu hata mm kuna sehem nliambiwa 250000-280000 nkaona isiwe shida nkaiweka ndan ila kuna mshkaji wang yupo india kanambia wanauza 50000 ya tz ila hawataki kumpa warrant na simu ninayo bongo so nimehofia kumuagizia ikawa mkenge ila huku bongo aisee bei ziko juu bora ukanunue android mpya kwa hela iyo
Mkuu hata mm kuna sehem nliambiwa 250000-280000 nkaona isiwe shida nkaiweka ndan ila kuna mshkaji wang yupo india kanambia wanauza 50000 ya tz ila hawataki kumpa warrant na simu ninayo bongo so nimehofia kumuagizia ikawa mkenge ila huku bongo aisee bei ziko juu bora ukanunue android mpya kwa hela iyo
Mafundi wa bongo uwa siwaelewi kabisaaa, replacement za simu wazungu wanauza bei cheee, youtube tutorial kibao, still wana take advantage ya watu kutoelewa hivi vitu, sio fair hata kidogo.
noma sana mi yangu S3 min ilizingua kwenye simcard wamekula hela lakini tatizo liko palepale ukiweka simcard inaenda off.! nimeamua kuiweka ndani tu sina jinsi.
noma sana mi yangu S3 min ilizingua kwenye simcard wamekula hela lakini tatizo liko palepale ukiweka simcard inaenda off.! nimeamua kuiweka ndani tu sina jinsi.