Aisee napata mashaka Betri ya Laptop orijino ikae na.chaji nusu sasa??What the hell is that??
Unaposema kuliko za hapa Tz una maana gani??Tz sikuhizi kuna viwanda vya kutengeneza mabetri ya Laptop??
Nachofahamu mabetri ya Laptop na vifaa vinginevyo vipo na vinapatikana kwenye maduka yanayouza Laptop...na accessories nyingine nyingi!!