Hivi wewe kweli unajua Mwenge ilipo au morroco? Hivi huwa unaangalia habari au kusikiliza? Kwanini unaropoka?Siku moja baada ya Rais kuagiza pesa zilizokuwa zitumike ktk sherehu za uhuru zikafanye kazi ya kupanua Barbara ya morroco Mwenge kesho lilionekana gredal likiwa llimeanza kazi na sifa kemkem kuwa agizo Jana leo kazi imeanza cc lemutuz .Hebu mje mtuambie mlikuwa na haraka gani kuripoti kitu msicho na uhakika nacho
Namtaka huyo niliye mcc tumbo kubwa aje hapa na majibu
Bas nshakuelewa mkuu....Kila siku hata leo
Mkuu watu wengine akili zao zina wadudu wanakurupuka tuUmepita njia ya Morocco mpaka mwenge recently?
Kama una matatizo binafsi na mtu mfungulie thread,kazi inaendelea kwa kasi kwenye ile barabara,toka huko mbagala kimbangulile uje uone watu wapo na mashine zipo siteSiku moja baada ya Rais kuagiza pesa zilizokuwa zitumike ktk sherehu za uhuru zikafanye kazi ya kupanua Barbara ya morroco Mwenge kesho lilionekana gredal likiwa llimeanza kazi na sifa kemkem kuwa agizo Jana leo kazi imeanza cc lemutuz .Hebu mje mtuambie mlikuwa na haraka gani kuripoti kitu msicho na uhakika nacho
Namtaka huyo niliye mcc tumbo kubwa aje hapa na majibu
Atakua hajapita huyo.....Umepita njia ya Morocco mpaka mwenge recently?
Kasema kapita Leo asubh sikutaka hata kumbishia maana nmekuelewa...Atakua hajapita huyo.....
Uko kijiji gani mkuuSiku moja baada ya Rais kuagiza pesa zilizokuwa zitumike ktk sherehu za uhuru zikafanye kazi ya kupanua Barbara ya morroco Mwenge kesho lilionekana gredal likiwa llimeanza kazi na sifa kemkem kuwa agizo Jana leo kazi imeanza cc lemutuz .Hebu mje mtuambie mlikuwa na haraka gani kuripoti kitu msicho na uhakika nacho
Namtaka huyo niliye mcc tumbo kubwa aje hapa na majibu
Hivi hilo jamaa kwenye red huwa litoto la mzee Malecela kweli? Mbona wenzake wana akili kubwa kuliko lenyewe?Siku moja baada ya Rais kuagiza pesa zilizokuwa zitumike ktk sherehu za uhuru zikafanye kazi ya kupanua Barbara ya morroco Mwenge kesho lilionekana gredal likiwa llimeanza kazi na sifa kemkem kuwa agizo Jana leo kazi imeanza cc le mutuz .Hebu mje mtuambie mlikuwa na haraka gani kuripoti kitu msicho na uhakika nacho
Namtaka huyo niliye mcc tumbo kubwa aje hapa na majibu