Jitahidi ujijengee khulka ya kumuomba Muumba akujaalie HEKIMA, BUSARA, SUBRA, NA UDHIBITI NDIMI. Matusi ni sehemu ya kumkasirisha Muumba hivyo jiepushe na matumizi bora ya lugha na uwe ni kiumbe mwenye KAULI NJEMA.
Kwetu huku Bara wigo mpana wa mambo kadha wa kadha ya kidunia, kiukuaji, kimalezi bali pia kimjumuiko. Hivyo kuna baadhi wapo wenye mlengo huo wa khulka lakini tupo pia tuliostaarabika na tunaojizuia kwa ndimi zetu.
YANGA & SIMBA...huwa hakuna lugha njema kwa pande zote hizo, mifano ni kuangalia hali ya migogoro inayojiri kila mara kwa vilabu hivyo viwili vya soka hapa nchini. Hiyo ni ishara tosha kuwa ukiwakaribia hao...basi nawe uwe kidooogo ni mithili ya MWENDAWAZIMU.