cdm inakubalika sababu ya viongozi wake ni wapambanaji wa ukweli hawana kashfa za kuhujumu uchumi,ndio waanzlishi wa kupambana na ufisadi,mikataba feki,sera zao zina mashiku lastly 95% ya wabunge wake ni majembe,yaani wanaposimama kutoa au kutetea hoja wana fiti si sawa na magamba ebu angalia ,mnyika,msigwa,lusinde,mdee,sugu,wenje,zitto,dkta tundu lissu,mbowe na wengine duh,mi na familia yangu tunawakubali sana,tunnamini wakishika dola nchi itakwenda tunapopahitaji,
ebu linganisha na wafuatao komba,mwigulu,lukuvi,wassira,nkamia,werema,pinda,ndugai,yule mwenyekiti wa bunge somebody kuwashwa2,thnnn jibu