Wakuu habari za asubuhi,
Iko hivi,wanawake karibu wote,narudia,karibu wote wamekuwa warahisi mno kutuvulia vyupi (na wengi wao pia huvua wenyewe) yaani kwa mfano umepanda daladala ukamtokea mwanamke kituo kinachofuta ( hata kama hakupanga kushuka hapo) mtashuka na kwenda kupiga show ( easy come easy go).
Watu wanasema ooh wanawake wa siku hizi ndio zao lakini wanawake wa zamani ulikuwa unatongoza miaka miwili hadi mitatu ndio unakubaliwa,sawa lakini kinachonishangaza na kunipa tabu ni kwamba wanawake walewale waliokuwa wakitongozwa kwa miaka zaidi ya mwaka mmoja ndio miongoni mwa wanaokubali kirahisi na baadhi yao hawasubiri kutongozwa bali wanatongoza( hapa nazungumzia wamama watu wazima ambao bado wanafukuzana na wajukuu na mabinti zao kugombania mishedede.)
Kama mwanzo mlikuwa mnakomaa miaka na miaka mlikuwa mnakula chakula gani na leo hii mnakula kipi kinachowafanya msikomae kama zamani?
Mkuu ungenielewa wala usingeandika ulivyoandika.Akili fupi sana hizi kwa hiyo wewe ulomvua haraka huna shida? Yaani mkutane kwenye daladala mvuane jioni ukipandisha suruali ukaweka bando uje jf kuwalalamikia wanawake?
Mkuu ungenielewa wala usingeandika ulivyoandika.
Wanaume hasa waafrika kutongoza ni asili yetu,na tunapotongoza haimaanishi tukubaliwe na ndio maana idadi ya uliowatongoza ni kubwa kuliko ya uliowagegeda na tunapokubaliwa haimaanishi tukubaliwe haraka.
Ndio maana hoja yangu imejikita huko kwenye urahisi na wala sio kipato cha mtu maana kuna wengine wako vizuri kiuchumi na bado ni easy come easy go.
hahaa haaaasiku hizi wanawake hawanpi shida kabisa, nkikupenda nakupgia nyeto mubashara.
Mbona hujaweka takwimu kuthibitisha hoja yako?Wakuu habari za asubuhi,
Iko hivi,wanawake karibu wote,narudia,karibu wote wamekuwa warahisi mno kutuvulia vyupi (na wengi wao pia huvua wenyewe) yaani kwa mfano umepanda daladala ukamtokea mwanamke kituo kinachofuta ( hata kama hakupanga kushuka hapo) mtashuka na kwenda kupiga show ( easy come easy go).
Watu wanasema ooh wanawake wa siku hizi ndio zao lakini wanawake wa zamani ulikuwa unatongoza miaka miwili hadi mitatu ndio unakubaliwa,sawa lakini kinachonishangaza na kunipa tabu ni kwamba wanawake walewale waliokuwa wakitongozwa kwa miaka zaidi ya mwaka mmoja ndio miongoni mwa wanaokubali kirahisi na baadhi yao hawasubiri kutongozwa bali wanatongoza( hapa nazungumzia wamama watu wazima ambao bado wanafukuzana na wajukuu na mabinti zao kugombania mishedede.)
Kama mwanzo mlikuwa mnakomaa miaka na miaka mlikuwa mnakula chakula gani na leo hii mnakula kipi kinachowafanya msikomae kama zamani?