Samahani lakini, mimi ni mdume, ila nachangia kidogo, ni kweli kwa dunia hii kuna baadhi ya vitu vifanyeni kuwa siri sio wanawake tu hata wanaume pia. Kwa mfano mimi mwanaume ni lazima nifiche hata ka-pocket money, maana anaweza rafiki yangu kuja na shida ya hela kidogo tu say shilingi laki tatu. Kweli ni hela ya kukaa kikao cha familia kujadili hiyo?! Ila vitu vya msingi viwekeni wazi visije vikazua sokomoko mfano vyanzo vya mapato viwe peupe tu ili kuondoa mashaka ya "misaada kutoka nje ya himaya."