Wanawake tupeni jibu ....

Pamoja na kuwatumia kote huko mzigo hauwapi?
 
Nadhani wanawakubalia sababu wanafikiri hao watu watakuwa na mapenzi ya dhati kwao. .

Ila mimi najua ninachokitaka, jibu langu linatoka palepale, afu nasepa
 
ata kama mtu akiwa king'ang'aniz vp kama simpendi simpendi tuuu na wala siwez mkubali eti kisa king'ang'aniz upendo ni mpendo tuu tena kwa mtu umpendaye kwa dhatiiii


Mmh!! Inaamana wote uliyo wahi kuwapa unawapenda!
 
ata kama mtu akiwa king'ang'aniz vp kama simpendi simpendi tuuu na wala siwez mkubali eti kisa king'ang'aniz upendo ni mpendo tuu tena kwa mtu umpendaye kwa dhatiiii
Utampendaje mtu (mwanaume) kwa dhati kwa kupigwa sound kwa siku moja tu au hat week moja na papuchi unatoa?
 
Unanikumbusha kikademu flani kiliniambia hivyo kina VVU na mimi nikamwabia nina tetenasi tokea shule nikakila mpaka leo nipo fiti kinomaaa
Mkuu kwani tetanus na VVU vina uhusiano gani?
 
Watoto wa vyuo wanasema kwamba unamfanya kuwa mshika pembe wakamuaji wengine!!!!
 
Binafsi SIPENDI USUMBUFU . ONE SHOT ONE KILL.
Nikisema sitaki, namaanisha sitaki na huo ukurasa nimeufunga. Ukirudia tena hiyo topic tutakosana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…